Ni ujio mpya kabisa wa Belle 9 akiwa kitofauti zaidi raundi hii akiwa amemshirikisha msanii Cannibal kutoka Kenya,,,kazi hii ipo katika hatua za umaliziaji,,,''ni mixing tu namalizia ten taratibu nyingine zitafuata,shikrani sana kwa Belle,Cannibal na Provoke music,its been an honour working with all of you'', wimbo unaitwa zaidi ya star,umefanyiwa production na John Blass(John B) wa grandmaster Arusha,,ambaye kwasasa muda mwingi zaidi yupo Jijini Nairobi Kenya..
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.










kwa vile John B ataproduce ilo ngoma basi litakua la kufa mtu hata wasio mfahamu Belle 9 na Cannibal watawakubali tu AMEN.