Google PlusRSS FeedEmail

DRAKE AZUNGUMZIA MAHUSIANO YAKE NA RIHANNA

Rapper kutoka katika lebo ya kurecord muziki Young Money inayomilikiwa na Lil' Wayne amekiri kuwa alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanamuziki Rihanna..Drake amebainisha kuwa katika maisha yake ya kisanii mpaka sasa hakuwai kumpenda mwanamke star.
Alihojiwa na Jarida la Elle Alisema hakuwai kumpenda mwanamke maharufu,Rihanna alininasa ila kwabahati mbaya yeye hakunipenda na ndio maana penzi lilikuwa la muda mfupi..

"Rihanna alikuwa msichana wa kwanza kuniingia moyoni,nilitumia siku tele,kusoma habari zake katika vyanzo mbalimbali,muda mfupi baadae nikafanya nae track ambayo ilishika chat kote duniani.wakti huo ndio kikachangamka na kuingia katika mtego ambao bado unatesa moyo wangu

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging