Google PlusRSS FeedEmail

JE NI KWELI BI KIDUDE AMEFARIKI DUNIA?

                      
                                                Offside Trick wakimshirikisha Bi Kidude

Kuna Habari ambazo bado sijazithibitisha zinasema kuwa mwanamuziki kikongwe na mkongwe Bi Kidude amefariki Dunia.Bi Kidude ameweza kujizolea sifa kemkem si tu kwa Tanzania bali duniani kote.Habari zilizoenea kwenye mtandao wa jamii wa Facebook zinasema kwamba Bi Kidude amefariki dunia jana huko Zanzibar, Wengi wa walio andika status zao wameshindwa kuthibitisha habari hizo na sisi bado tunaziatilia tutakujuzeni hapa hapa.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging