Google PlusRSS FeedEmail

JE CHRISTINA AGUILERA NI MJAMZITO..?

Juzi Jumapili Mwanamama Christina Aguilera,alikuwa kati ya wasanii walioalikwa na kupata nafasi ya kuimba katika tamasha la American Music Awards Sunday night,Mwanamama huyo alipanda jukwaani na kuimba kibao chake ambacho kinafanya vyema katika chat mbalimbali kote Duniani, "Moves Like Jagger"wakati akiwa katika stage Mashabiki mbali mbali walianza kupiga kelele kwa kumshangilia huku wengine wakisema ni Mjamzito..Tazama hizo picha je ni kwamba ana ujauzito au amenenepa tu.?

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging