Google PlusRSS FeedEmail

VINEGA WAONYESHA UWEZO WAO

Vinega wamethibitisha kuwa wao ndiyo wanamapinduzi wa kweli wa muziki wa kizazi kipya baada ya kufunika mbaya katika uzinduzi wake, uliofanyika Chuo cha Ustawi wa Jamii juzi.

Umewahi kumuona Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, akigonga swaga za Hip Hop? Kwa taarifa yako ni kwamba kiongozi huyo wa Kambi ya Upinzani Bungeni, alivunja swaga na kuufanya umati ulipuke.


Shoo hiyo, ilipendezeshwa na wabunge ambao wengi wao walivamia jukwaa na kuvunja mistari pamoja na Sugu wakati alipoimba nyimbo za Chini ya Miaka 18 na Sugu.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging