Google PlusRSS FeedEmail

DIAMOND CHUPU CHUPU KUHUKUMIWA MIEZI SITA JELA

Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Naseeb Abduly Diamond,amekuhukumiwa kifungo cha miezi 6 jela mara baada ya kukutwa na kosa la kushambulia na kujeruhi,Mwandishi wa habari wa kujitegemea ambaye alitambulika kwa jina la Francis Godwin..Hatua hiyo imekuja mara baada ya Diamond pamoja na wacheza shoo wake wawili kukiri kosa mbele ya hakimu,na kuharibu Camera ya mwandishi huyo Desemba 31 mwaka jana,Akitoa hukumu hiyo hakimu wa mahakama ya mwanzo Hakimu Musua alisema kutokana na wote kukiri kosa alitoa hukumu ya kwenda jela miezi 6 au kulipa faini 50,000 na kumlipa mwandishi huyo 30,000.kila mmoja.Mwanamuziki huyo alifanikiwa kulipa faini hiyo,na kuachiwa huru yeye na wenzake.. 

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging