Muigizaji mkongwe nchini wa siku nyingi wa sanaa ya maigizo Mzee Fundi Said maarufu kama Mzee Kipara (pichani) amefariki dunia mapema asubuhi ya leo. Mzee Kipara aliyekuwa aliyekuwa akisumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu amefikwa na mauti akiwa nyumbani kwake maeneo ya Kigogo, Dar es Salaam. Uongozi na wafanyakazi wote wa Pro24 umepokea taarifa hizi za kusikitisha kwa majonzi makubwa na unatoa pole kwa ndugu na jamaa wa karibu kwa kuondokea na kipenzi chao. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amen.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.