Google PlusRSS FeedEmail

Jb Mpiana na Werrason walipokutanishwa na kukumbushia enzi zao wenge musica stejini kwa pamoja..

                         
Katika vitu ambavyo wenyewe wanasisitiza ni kwamba hawana tofauti zaidi ya kukuzwa na mashabiki wao, wanasema tofauti zao ni kujenga muziki wa Kongo lakini kwenye masuala ya kimaisha bado ni marafiki na wanaheshimiana na hili lilidhihirika hivi majuzi baada ya Werasson kupata ajali na JB kuwa miongoni ya watu wa mwanzo kufika kumjulia hali.Angalia Video hii pale JB na Wera walipokutanishwa na kutoa vipande vya wimbo ambao waliimba wakiwa bado pamoja kiukweli inatia raha sana.

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging