Dirty game filamu mpya iliyoandaliwa na kampuni ya Tuesday Entertainment Ltd ya Jijini Dar es salaam inawezekana ndio filamu ambayo imeaandaliwa kwa gharama zaidi kulinganisha na filamu zinazoendelea kutengenezwa na watayarishaji wa filamu hapa Nchini ...Unajua gharama zilikuwa kubwa kutokana na location tulizotumia mwanzo wa filamu hadi mwisho, filamu ya Dirty Game imerekodiwa katika Boti na ndege kwa hiyo katika ndege tulitumia kamera zaidi 10 kwa ajili ilikuwa kila kitu kionekane bila kurudia tukio hilo kwani kuwa hewani ni gharama,”anasema Mr. Chuzi.Filamu ya Dirty Game imerekodiwa katika bahari na angani kutoka Dar es salaam kuelekea Zanzibar, katika filamu hiyo wasanii walioshiriki katika kuigiza ni Tuesday Kihangala ‘Mr. chuzi’, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’, Michael Philipo ‘Kojack’, Bad boy, Mzee Bomba na wasanii kutoka kampuni ya Tuesday...
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








