Google PlusRSS FeedEmail

KANYE WEST AMPIGA MKWARA KIM



Kutokana na hali ya ujauzito wa Kim Kardashiana, rapa Kanye West hataki kumuona mke wake huyo akipiga picha za utupu kwenye kipindi hiki ambapo wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza julai mwaka huu

Kim inasemekana anatarajiwa kutoka kwenye picha za jarida la Vanity Fair ambalo linamilikiwa na Demi Moore,lakini Kanye hataki kusikia hilo

"Ni kitu ambacho Kim amekuwa akitaka kukifanya kwa miaka mingi sana Anadhani litakuwa ni jambo zuri kitu ambacho kitaacha kumbukumbu milele" kilisema chanzo cha habari

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging