Google PlusRSS FeedEmail

LINDSAY KUENDELEA KUFANYA KAZI NA WAKILI WAKE



Kutokana na mwanasheria wa muigizaji mwenye utata nchini Marekani Lindsay Lohan kushindwa kutokea mahakamani wiki iliyopita muigizaji huyo hatamfukuza wakili wake

Hivi karibuni Heller alisaini mkataba wa kumwakilisha Lohan katika mashtaka yake ya kuvunja masharti ya kuwa chini ya uanagalizi kuhusu kesi ya wizi wa cheni ya dhahabu baada ya kuwaongopea tena poli kwenye ajali ya gari aliyoipata mwaka jana

Machi mosi mwaka huu Jaji wa Mahakama ya jiji la Los Angeles, Jim Dabney alimtimua Heller kwenye chumba cha Mahakama baada ya kuwasilisha hati zisizo sahihi, huku akimuagiza Lohan aidha kutokea mwenyewe mahakamani au kuthibitisha kama bado anataka Heller kuendelea kumwakilisha

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging