Google PlusRSS FeedEmail

RIHANNA APAGAWISHA TENA



Mwanamuziki mahiri nchini Marekani Rihanna ameendelea kuchafua hali ya hewa baada ya kuingiza kwenye mtandao picha inayomuonyesha makalio yake yakiwa nusu utupu

Katika picha hiyo mwanadada huyo anaonekana kuvaa kichupi kitupu huku akiwa amevaa viatu virefu vya ngozi vilivyomfikia mapajani

Kitendo hiko kinadaiwa kuwakera mashabiki wake ambao walisikika wakilalamikia kitendo hiko kuwa si cha kiungwana kwa mtu maarufu kama huyo kufanya hivyo

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging