Google PlusRSS FeedEmail

VICTORIA SOUND KUZINDULIWA LEO



Bendi ya muziki wa dansi nchini Victoria Sound chini ya Muumini Mwinjuma inatarajiwa kuzinduliwa leo katika ukumbi wa Mango Garden ambapo mgeni rasmi atakuwa Abdisalam Khatibu aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Fedha

Akizungumza Dar es Salaam kiongozi wa bendi hiyo Mwinjuma 'kocha wa dunia'alisema kuwa onyesho hilo pia litatambulisha wanamuziki wote wapya waliopo ndani ya bendi hiyo

Alisema onyesho hilo litasindikizwa na bendi ya muziki wa dansi ya Extra Bongo chini ya mkurugenzi wake Ally Choki pamoja na malikia wa mipasho Khadija Kopa

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging