Google PlusRSS FeedEmail

RAIS WA MAREKANI AMRUKA JAY-Z



Rais wa Marekani Barack Obama ameikana ziara ya rapa nyota nchini humo Jay- Z na mke wake Beyonce akisema kuwa hana habari na safari yao waliyoifanya hivi karibuni kwenda nchini Cuba

Hivi karibuni Jay Z na Beyonce walisafiri kwenda nchini Cuba kwa ajili ya kuadhimisha miaka mitano ya ndoa yao jambo lilolosababisha maofisa wa Chama cha Republican kutaka ufanyike uchunguzi ama amevunja vikwazo vya kusafiri

Akiwa nchini humo rapa huyo alizindua kibao chake alichokipa jina la'Open Letter' ambacho mashahiri yake yanaonekana kama Obama alikuwa amemzuia kufanya ziara hiyo,hata hivyo taarifa iliyotolewa na Msemaji wa White House, Jay Carney ilieleza kuwa utawala wa Serikali ya Rais Obama ulitoa baraka zote kuhusu safari hiyo ya Jay Z kwenda Cuba na kwa sasa rais huyo ametoa kauli kama hiyo

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging