Google PlusRSS FeedEmail

KALA AKABIDHI TUZO NA VYAKULA KWA FAMILIA YA NGWEAR


 Msanii wa Hip hop Kala Jeremiah akijiandaa kuikabidhi tuzo kwa mama yake na msanii Albert Mangwea pembeni ni msanii wa muziki wa kizazi kipya Afande Sele
 Mama yake Arbert Mangwea akiwa ameishikilia tuzo aliyokabidhiwa na Kala Jeremiah


 Msanii Kala Jeremia akimkabidhi mama yake Ngwair baadhi ya vyakula ikiwemo mchele, sukari, mafuta
 Mama yake Ngwair (katikati) akipokea kanga kutoka kwa mmoja wa wadau wa muziki wa kizazi kipya Morogoro
Familia ya Ngwair wakisalimiana na ujumbe uliongozana na msanii wa hip hop Kala Jeremiah

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging