Google PlusRSS FeedEmail

SAFARI YA MWISHO YA COW OBAMA 'NGWAIR'


Mwili wa msanii Ngwair ukiwasili katika uwanja wa Jamhuri Morogoro teyari kwa kuanza kutoa heshima za mwisho kwa ndugu , mashabiki pamoja na wasanii waliohudhuria
 Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamejitokeza kumpumzisha msanii huyo
 Gari lililobeba mwili wa marehemu likiwa limewasili katika makaburi ya kanisani Morogoro
 Mashabiki wakiwa wamebeba jeneza lilikuwa na mwili wa msanii huyo makaburini
 Ibada ya kuombea kaburi ikiendelea kabla ya kuupumzisha mwili wa msanii huyo
 Mwili wa msanii huyo ukipumzishwa katika nyumba yake ya milele
P Funk akishangiliwa na mashabiki baada ya kuupumzisha mwili wa marehemu Ngwair

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging