Google PlusRSS FeedEmail

BONGOMOVI CHALI, WAFUNGWA MOJA BILA

 Msanii wa bongo Muvi Ray Kigosi, Jakobo Steven wakimsikiliza kocha wao kabla ya kuingia uwanjani, ambapo jana walicheza mechi kati ya timu ya bongo movi, na timu ya bongofleva ambapo timu ya bongofleva iliweza kutwaa ubingwa kwa kufunga kwa kutumia penati.

Hapo awali timu hiyo iliongoza kwa goli moja kabla ya mapumziko lililofungwa na Kr ambapo baada ya muda kidogo timu ya bongo movi kwa kupitia mchezaji wake Ray walifanikiwa kurudisha goli hilo na hatimaye kuingia katika kipindi cha matuta na ndipo bongo fleva waliweza kunyakua kombe hilo

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging