Google PlusRSS FeedEmail

MPAMBANO WA NGUMI KATI YA WABUNGE NA WASANII WA BONGO MOVI

 Mbunge Estar Bulaya kupitia chama cha CCM  na Halima Mdee CHADEMA jimbo la Kawe wakiwa na makocha wao muda mfupi kuingia ulingoni
 Mtayarishaji wa muziki wa kizazi kipya P Funk Majani akiwa ameshikilia kombe na msanii wa muziki wa kizazi kipya H. Baba naada ya kutwaa kombe hilo jana katika tamasha la matumaini
 Msanii wa filamu nchini Unti Ezekiel akimtisha ngumu mbunge wa Mara Estar Bulaya jana katika tamasha la Usiku wa Matumaini lililofanyika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ambapo wote waliibuka washindi
Msanii Aunt Ezekiel akimtwika konde mbunge wa Mara

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging