Google PlusRSS FeedEmail

INI EDO USO KWA USO NA AMBER ROSE

Kwa wale waliofuatilia shindano la Miss Earth lililofanyika mwishoni mwa wiki nchini Nigeria, mwanadada Ini Edo ameonekana kivingine na kuwa mwenye mvuto wa kipekee.

Mwishoni mwa wiki Ini Edo alikuwa miongoni mwa majaji wa shindano hilo akishirikiana na na wenzake pamoja na mwanamitindo Amber Rose.

Wawili hao walionekana kuwa na mazungumzo ya hapa na pale na wafwatiriaji wa mambo hawatoshangaa kuona Ini alikwea pia na kwenda nchini Marekani kwa ajili ya kumfuata Amber

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging