Kwa wale waliofuatilia shindano la Miss Earth lililofanyika mwishoni mwa wiki nchini Nigeria, mwanadada Ini Edo ameonekana kivingine na kuwa mwenye mvuto wa kipekee.
Mwishoni mwa wiki Ini Edo alikuwa miongoni mwa majaji wa shindano hilo akishirikiana na na wenzake pamoja na mwanamitindo Amber Rose.
Wawili hao walionekana kuwa na mazungumzo ya hapa na pale na wafwatiriaji wa mambo hawatoshangaa kuona Ini alikwea pia na kwenda nchini Marekani kwa ajili ya kumfuata Amber
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.