Google PlusRSS FeedEmail

KANYE WEST AJITAMBA KUWA MSANII BORA DUNIANI

Msanii Kanye West ajitamba na kuweka wazi kuwa yeye ndiye msanii namba moja duniani wa miondoko ya 'Rock', hayo aliyasema katika moja ya mahojiano yake aliyoyafanya kwenye kituo kimoja cha redio cha Uingereza.

Rapa huyo aliweka wazi kuwa yeye ni miongoni wa wanamapinduzi katia muziki huo huku akisisitiza kuwa asingekuwepo yeye kama Michael Jackson asingekuwepo.

Alienda mbali zaidi baada ya kuweka wazi kuwa ndani ya miaka 10 ameweza kupiga hatua kubwa kama mbunifu na mtu maarufu, pia aliweza kumsifia rafiki yake wa karibu Jay Z, kwa hatua aliyofikia na kudai kuwa yupo juu zaidi yake.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging