Google PlusRSS FeedEmail

KEYSHIA NDOA YAKE YAYUMBA

Ndoa ya muimbaji Keyshia Cole inaonekana kuyumba baada ya wawili hao kuthibitisha kupitia ujumbe uliotumwa katika mitandao ya kijamii. Keyshia Cole na mumewe Daniel Gibson wanapitia kipindi kigumu cha ndoa yao na wamekuwa wakiandika ujumbe unaonesha kutengana.

Keyshia aliandika kwenye mtandao wa Instagram kuwa "Mji wa  Cleveland ulikuwa mtamu kwa mumewangu na mimi pia tumeacha kumbukumbu kubwa hapa "

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging