Google PlusRSS FeedEmail

MADEE AMEUSALITI MUZIKI WA HIP HOP

Baada ya kupata mafanikio kupitia wimbo wake wa 'Nani kamwaga pombe yangu' msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Madee ameweka wazi kutoimba tena nyimbo zenye miondoko ya Hip Hop kwa madai kuwa hizo siyo nyimbo za biashara.

Hali hiyo inadhihirisha ile nyimbo yake aliyoitoa kipindi kilichopita yenye maneno kuwa 'Hip Hop hailipi', hivyo msanii huyo ameweka wazi kuwa nyimbo ya Nani kamwaga pombe yangu ni nyimbo pekee iliyompa mafanikio mbali na kumuongezea mashabiki kibao, lakini pia ameweza kupata show za kutosha zilizopelekea kumalizia nyumba yake, na kumsomesha mtoto wake shule nzuri.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging