Google PlusRSS FeedEmail

CHRIS BROWN AMVUNJA MTU PUA

Muimbaji Chris Brown ameweka wazi kuwa anasumbuliwa na tatizo la hasira kauli ambayo imetafsiriwa huenda ikamsaidia katika jaribio lake la kukwepa kifungo cha miaka minne gerezani.

Muimbaji huyo ametoa kauli hiyo akiwa yupo katika chuo cha mafunzo ya kurekebishwa tabia alikopelekwa mwenyewe kufwatia na madai ya kumpiga mtu ngumi aliyezamia picha aliyokuwa akipiga na mashabiki wake ambapo ngumi hiyo ilimpelekea kumvunja pua mtu huyo.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging