Muimbaji Chris Brown ameweka wazi kuwa anasumbuliwa na tatizo la hasira kauli ambayo imetafsiriwa huenda ikamsaidia katika jaribio lake la kukwepa kifungo cha miaka minne gerezani.
Muimbaji huyo ametoa kauli hiyo akiwa yupo katika chuo cha mafunzo ya kurekebishwa tabia alikopelekwa mwenyewe kufwatia na madai ya kumpiga mtu ngumi aliyezamia picha aliyokuwa akipiga na mashabiki wake ambapo ngumi hiyo ilimpelekea kumvunja pua mtu huyo.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.