Google PlusRSS FeedEmail

JACQUELINE WOLPER, STEVE NYERERE, JOKATE MWEGELO NA SALAMA JBIR KUWA WAGENI RASMI


Muigizaji Jacqueline Wolper, Steve Nyerere, Jokate Mwegelo pamoja na mtangazaji mwenye machachari Salama Jabir wanatarajia kuwa wageni kwenye sho ya wanafunzi wa sekondari Kenton High School, Dar es Salaam ambapo show hiyo imepewa jina la 'Jitambue'.

Mastaa hao wanne watazungumza mbele ya wanafunzi mbalimbali masuala ambayo yatawasaidia kujielewa na kujitambua .

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging