Google PlusRSS FeedEmail

LESEGO MOTSEPE " LETTI MATABANE ’ AFARIKI DUNIA

                                      
Lesego Motsepe LETTI MATABANE AMBAYE alishawai kuwa mwigizaji katika tamthilia ya Isidingo..taharifa ambazo zimesambazwa katika vituo mbali mbali vya Habari kutoka kwa kaka wa Marehemu Moemise  Motsepe zinasema kuwa dada yake amefariki mapema jana mchana na madaktari wamethibisha .Lesego Motsepe LETTI MATABANE atakumbukwa sana na wapenzi wa tamthilia ya Isidingo kwa uwezo wake mkubwa aliokuwa akiumudu katika tamthilia hiyo.Na kama utakumbuka mnamo mwaka jana alijitangaza kuwa amekuwa akiishi na virusi vya ukimwi kwa zaidi ya miaka 13..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging