Mwanamuziki Madonna amekanusha tetesi kuwa anatabia ya kibaguzi, hali hiyo imekuja baada ya kulalamikiwa na watu katika mitandao ya kijamii kufuatiwa na ujumbe ulioandikwa kwenye picha ya mtoto wake.
Kwenye picha hiyo ya mtoto wake mwenye umri wa miaka 13 wa kiume Rocco Ritchie, Madonna aliandika ujumbe uliotafsiriwa kama ubaguzi, hata hivyo baada ya maneno makali kutoka kwa mashabiki juu ya kauli hiyo Madonna aliandika ujumbe akisema kuwa hana nia ya kukashifu wala kukejeli lolote katika ujumbe wake huo.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








