Google PlusRSS FeedEmail

WANENGUAJI WA KHANGA MOJA WAFANYA KUFURU MPAMBANO WA NGUMI

Wanenguaji wanaounda kundi la Khanga Moja  wakitumbuiza katika mashindano ya ngumi yaliyofanyika katika ukumbi wa Shimbikati maeneo ya Kiluvya, ambapo kundi hilo lilipata nafasi ya kutoa burudani kwa watazamaji waliojitokeza kwenye mpambano huyo.

Kundi hili limeshawahi kupigwa marufuku na wabunge wa jamhuri ya Muungano Tanzania kutokana na mtindo wao wa uchezaji unaodai kupoteza maadili ya kitanzania.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging