Wanenguaji wanaounda kundi la Khanga Moja wakitumbuiza katika mashindano ya ngumi yaliyofanyika katika ukumbi wa Shimbikati maeneo ya Kiluvya, ambapo kundi hilo lilipata nafasi ya kutoa burudani kwa watazamaji waliojitokeza kwenye mpambano huyo.
Kundi hili limeshawahi kupigwa marufuku na wabunge wa jamhuri ya Muungano Tanzania kutokana na mtindo wao wa uchezaji unaodai kupoteza maadili ya kitanzania.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.









