MA-DJ wa Pro-24 baada ya kumaliza likizo yao kesho kuanza tena kipindi chao cha Hotzone kinachorushwa katika televisheni ya Taifa TBC One.
Kipindi hicho ambacho kinaongozwa na madj hayo wa pro -24 ambapo wanarusha video mixing za nyimbo tofauti tofauti za ndani na nje ya nchi .
Baadhi ya madj wa kundi hilo watafanya shoo hiyo ambapo pazi la burudani hiyo litafunguliwa na Dj Dea, Micho, Pack, Pirlo, Cobo, Mecco, seven kwa upande wa madj wa kike watakuwa Dj Sinyorita, pamoja na Dj Shana.