Google PlusRSS FeedEmail

ROSE NDAUKA AJIPA UBALOZI WA USAFI

Rose Ndauka akiwa ameambatana na Meya wa Ilala, Jerry Slaa pamoja na baadhi ya wanafunzi na wasanii wenzake kufanya usafi eneo la Mnazi Mmoja ikiwa ni kampeni ya kufanya usafi jiji zima aliyoianzisha kwa kujitolea kuwa balozi wa usafi
MSANII wa filamu nchini Rose Ndauka akiwa na baadhi ya wasanii wenzake pamoja na Meya wa Ilala Jerry Slaa  akifanya usafi eneo la Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, ikiwa ni moja ya uzinduzi wake wa kampeni ya 'Amka Badilika, Nga'risha Tanzania'.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging