Google PlusRSS FeedEmail

CIARA AKIWA KATIKA MUONEKANO WA TOFAUTI



Ciara Aka Cici mchumba wa Rapper Future amefanya photo shoot ya Jarida la W kuhusu muonekano wake wakati wa ujauzito. W magazine wamepata exclusive Interview na Cici ambaye anategmea kujifungua mtoto wa kiume siku yoyote sasa.

Huyu atakuwa mtoto wa kwanza wa Cici mwenye miaka 28. Ciara anasema ” Nikishajifungua salama nitarudi studio ili kumalizia album yangu mpya na kuanza kuoanga harusi yangu na Future”



This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging