Google PlusRSS FeedEmail

NAY WA MITEGO AJIKITA KIMATAIFA



Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nay wa Mitego yupo nchini Thailand kwa ajili ya shughuri za kimuziki huku safari yake hiyo ikiwa ni ya wiki moja.

Safari yake hiyo ilianza nchini Nairobi ambapo amekaa siku mbili ndipo alipoanza safari yake kwenda nchini Thailand huko atatumia wiki moja kwa ajili ya kuutangaza muziki wake ikiambata na kazi zake za kimuziki.

Ameeleza kuwa safari yake hiyo anaamini itakuwa yenye mafanikio huku akikuza soko la muziki wake.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging