Google PlusRSS FeedEmail

WEMA SEPETU AIBUKA KIDEDEA

 Msanii wa Muziki wa Kizazi nchini Dogo Aslaye akitumbuiza mbele ya mashabiki wake waliohudhuria onesho la kumtafuta mwanamke mwenye mvuto ambapo Wema Sepetu aliibuka kuwa mshindi
 Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu akiwaonesha mashabiki tuzo aliyokabidhiwa mara baada ya kutajwa kuwa mshindi wa mwaamke mweye mvuto ambapo aliwagaragaza wasanii wenzake akiwemo Lulu, Jaqrie Wolpa, Joketi. Shindano hilo liliandaliwa na kampui ya Global Publish wachapishaji wa magazeti pendwa
 Wema Sepetu akifurahia tuzo hiyo
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya Temba kutoka kundi la Wanaume akitumbuiza katika jukwa hilo
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini miondoko ya Hip Hop Joh Makini akitumbuiza mashabiki waliohudhuria shindano hilo Ukumbi wa Dar live Dar es Salaam


This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging