Google PlusRSS FeedEmail

D-KNOB ARUDI KIVINGINE




Kwa muda mrefu jamaa amekaa kwenye game na kufanya vizuri, baadae akawa kimya kwa muda na kuelekea darasani.

Ujio wake wa pili ulikuwa wa kishindo baada ya kuachia wimbo aliomshirikisha Mwasiti, Nishike Mkono. wimbo uliotayarishwa na producer Villy wa Mwanalizombe Studio.

                   


This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging