Kwa muda mrefu jamaa amekaa kwenye game na kufanya vizuri, baadae akawa kimya kwa muda na kuelekea darasani.
Ujio wake wa pili ulikuwa wa kishindo baada ya kuachia wimbo aliomshirikisha Mwasiti, Nishike Mkono. wimbo uliotayarishwa na producer Villy wa Mwanalizombe Studio.