Chama cha waandishi wa script kimeandaa semina kwa wadau wa filamu wote wanachama na wale ambao si wanachama, lengo ikiwa ni kujielimisha zaidi, hivyo tunatoa mwito washiriki wajitokeze kwa wingi,”anasema Kingalu mwenyekiti wa muda wa chama hicho.
Kwa wale wanaopenda kushiriki katika mafunzo hayo yanayoanza tarehe 19,20 na 21 mwezi huu, yanafanyika kwa mpango wa TAFF kuwawezesha wasanii kupata elimu kwa njia rahisi, kwa wale wanaotaka kushiriki wapige simu namba : 0713 626 252, 0783 359 999.PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.