kutokana na Single ya ‘Pills N Potions‘ amesema amechukizwa na kitendo cha msanii mwenzake Rihanna kuharibu urafiki wake kati ya yeye na na msanii Drake
Baada ya Drake kuachana na Rihanna kabisa,inasemekana Nick minaji anaweza kumwita Rihanna na wazungumze juu ya swala hili alilomfanyia rafiki yake Drake,Siku moja kwenye vyombo vya habari vya marekani Nick alikaririwa akisema ‘One day, I will run away with Drake and get married, but right now it’s just a fantasy.’
Drake pamoja na Rihhana waliachana mwezi mmoja uliopita baada ya kutokea ugomvi baina yao na kufanya kusambaratika kwa uhusiano wao