Google PlusRSS FeedEmail

UGOMVI KATI YA WIZKID NA DAVIDO LAENDELEA KUKOLEZWA



Taarifa za kuwepo beef kati ya wasanii wakubwa wa Nigeria Wizkid na Davido wakitambiana nani anafunika zaidi zinaendelea kukorezwa na tweets za vijembe kati yao kila kukicha.

Ingawa wawili hao waliwahi kuonekana katika picha ya pamoja na kutoa ishara ya kumaliza tofauti zao, bado maandishi yao yanaonekana kuwa mwiba kwa kila mmoja.

Mkali wa Kukere ameamua kutoa ushauri wake kwa wasanii wa Nigeria, ushauri ambao unaonekana kumwagusa moja kwa moja Wizkid na Davido ingawa hakuwataja majina.

“Acheni kuongea!!! Tuachie muziki zaidi!!! Tuwaburudishe mashabiki!!! Acheni chuki!!! Maombi yangu ni kwamba wote tufanikishe.”

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging