
Tumepata bahati ya kukutana na Idris. Ni kijana mwenye vituko sana na ukikaa naye kwa muda mfupi lazima akuvunje mbavu kwa maneno yake ya papo kwa papo ambayo yatakufanya ugundue kuwa ucheshi ni kitu alichobarikiwa na mwenyezi Mungu.

PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG






