Google PlusRSS FeedEmail

JE UNAMFAHAMU MWAKILISHI KUTOKA TANZANIA KWENYE BBA?

  
Mpiga picha na graphic designer anayefanya kazi kwenye kampuni ya I-View Studios, ni mwakilishi wa kwanza kutoka Tanzania aliyetajwa tayari kutuwakilisha mwaka huu kwenye shindano la Big Brother Africa. Majina bado yanaendelea kutajwa hivyo tunangoja kufahamu mshiriki wa pili.

Tumepata bahati ya kukutana na Idris. Ni kijana mwenye vituko sana na ukikaa naye kwa muda mfupi lazima akuvunje mbavu kwa maneno yake ya papo kwa papo ambayo yatakufanya ugundue kuwa ucheshi ni kitu alichobarikiwa na mwenyezi Mungu.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging