Msanii wa filamu nchini Kajala Masanja jana azindua filamu yake mpya aliyoipa jina la Mbwa Mwitu katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, ambapo uzinduzi huo ulihudhuriwa na mastaa mbalimbali nchini.
Wasanii walioshiriki katika kuigiza kwenye filamu hiyo ni Hemed Suleiman
aka PHD,Grace Mapunda,Kajala pamoja na msanii wa Bongo Fleva Quick
Rocka.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.