Google PlusRSS FeedEmail

SHAA AZUNGUMZA KUWA YEYE NA MASTER J SI WAPENZI

Shaa ambaye ni mwimbaji maarufu wa vibao vya Sugua Gaga na Subira amekana kuwa na uhusuiano na producer maarufu wa muziki wa kizazi kipya Master J.

Akizungumza na jarida moja linalotoka kila mwezi Shaa amesema kuwa ameshangazwa na media kuandika ni wapenzi wakati yeye na master Jay wapo kikazi zaidi.

Hata hivyo wakati Shaa akiyasema hayo inadaiwa tayari familia ya Master J inamtambua kama mkwe wao na ameshatambulishwa.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging