KESI ya msanii wa filamu Bongo, Aisha Bui ya kufanya
fujo ofisini kwa msambazaji wa filamu akidai kutolipwa fedha zake za
filamu bado ni ya moto ambapo msambazaji anazungumza na mwanasheria wake
kisha kumburuza mwigizaji huyo mahakamani.
Chanzo makini kimedai kuwa, baada ya Aisha kulala polisi na kutoka
kwa dhamana msambazaji huyo, Ngeze Yuneda anatarajia kumburuza
mahakamani akidai amembambikizia madai mengi ya uongo.
Alipoulizwa Aisha kuhusiana na habari hiyo, alisema:
“Hata sielewi kwa sababu walisema wanapeleka faili kwa mwanasheria ndipo tutakapoitwa ili ijulikane inakuwaje, nawasubiria.”
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.