Google PlusRSS FeedEmail

HII MPYA YA IRENE UWOYA NA MSAMI

INADAIWA msanii wa filamu nchini Irene Uwoya na mpenzi wake Msami wajikuta wapo katika ugomvi usiojulikana chanjo ni nini?, huku ikidaiwa alazimishwa kupiga kibao.

Inasemekana wawili hao wamepishana kiswahili katika video iliyozagaa mitandaoni inasikika sauti ya Irene akimlazimisha Msami kumpiga kibao.

Msami amekanusha kuwepo kwa ugomvi kati yao, huku msanii Irene Uwoya akikataa kuzungumzia jambo hilo.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging