Msanii wa muziki wa kizazi kipya,ambaye anajulikana kama msaai wa kigoma,ameamua kujitosa katika penzi la wema Sepetu..
Msai wa kigoma amesema kuwa amefikia uamuzi huo mara baada Msanii Diamond kuachana na mrembo huyo
Alipoulizwa je ataweza kumtunza binti huyo msai wa kigoma alifunguka "nampenda sana Wema na nina ng'ombe wengi sana nitahakikisha Wema anakula nyama mpaka anazeeka...