MISS Tanzania 2006/07 ambaye ni staa wa sinema za
Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’, amevunja ukimya kwa
kuamua kuanika kisa cha yeye kummwaga aliyekuwa mwandani wake, nyota wa
Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Akizungumzia tatizo hilo, Wema alisema kuwa anashangazwa na watu kuhusisha kitendo chao cha kumwagana na msanii kutoka nchini Uganda anayejulikana kwa jina la Zari, jambo ambalo si kweli.
Alisema kuwa ameamua kumpa likizo isiyokuwa na muda maalumu ili kila mmoja awe huru kufanya mambo yake ya kimaisha
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.