“Muda mwingi kwa sasa nautumia kwa masomo sifanyi sanaa nipo shule sijawahi kuimba wala sina wazo kama hilo sina sauti ya kuimba kuongea sana tu sauti yangu inakauka sasa iwe kuimba jamani siyo Jennefer mimi, kuigiza kwenye naangalia sinema ya kushiriki,”anasema Jennifer.
Jennifer amezidi kusema kuwa kuigiza na wasanii wengine ni changamoto tofauti na walipokuwa wakiigiza na marehemu Kanumba alikuwa akiwalea kama watoto lakini watayarishaji wengine wakifanya nao kazi wanatukana hata bila kujua kama ni watoto hivyo hawezi kujiweka sana katika sanaa asiharibu masomo yake.
Jennifer amezidi kusema kuwa kuigiza na wasanii wengine ni changamoto tofauti na walipokuwa wakiigiza na marehemu Kanumba alikuwa akiwalea kama watoto lakini watayarishaji wengine wakifanya nao kazi wanatukana hata bila kujua kama ni watoto hivyo hawezi kujiweka sana katika sanaa asiharibu masomo yake.