Kupitia Instagram Diamond alipost picha ya ‘ultra sound’ inayoonesha kiumbe kilichoko tumboni mwa mama na kuandika: “I can not wait to have you on my hand”. Hata hivyo aliifuta post hiyo baada ya dakika mbili
ZARI & DIAMOND KUPATA MTOTO?
Kupitia Instagram Diamond alipost picha ya ‘ultra sound’ inayoonesha kiumbe kilichoko tumboni mwa mama na kuandika: “I can not wait to have you on my hand”. Hata hivyo aliifuta post hiyo baada ya dakika mbili