Kwa mujibu wa Chege, Picha hiyo ilipigwa alipokuwa akifanya show wiki iliyopita mjini Dodoma, na kitambaa hicho si hirizi, bali ni kitambaa cheusi alichofunga kuashiria kuguswa namsiba wa Mez B, kwani amefariki asubuhi wakati wao walikuwa na show mchanawa saa tisa.
HIRIZI YA CHEGE YAZUA BALAAH MITANDAONI
Kwa mujibu wa Chege, Picha hiyo ilipigwa alipokuwa akifanya show wiki iliyopita mjini Dodoma, na kitambaa hicho si hirizi, bali ni kitambaa cheusi alichofunga kuashiria kuguswa namsiba wa Mez B, kwani amefariki asubuhi wakati wao walikuwa na show mchanawa saa tisa.