Google PlusRSS FeedEmail

HIRIZI YA CHEGE YAZUA BALAAH MITANDAONI

                    

Picha ya Chege na Temba iliyozagaa mtandaoni yaleta chuki kati ya Chege na Miamartha, baada ya mtangazaji huyo kuweka Instagram picha hiyo iliyozungushiwa alama nyekundu kwenye mkono wa Chege ikionyesha kitambaa cheusi alichokuwa kajifunga na kuuliza kama ni Hirizi.




Kwa mujibu wa Chege, Picha hiyo ilipigwa alipokuwa akifanya show wiki iliyopita mjini Dodoma, na kitambaa hicho si hirizi, bali ni kitambaa cheusi alichofunga kuashiria kuguswa namsiba wa Mez B, kwani amefariki asubuhi wakati wao walikuwa na show mchanawa saa tisa.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging