Jimmy Winfrey meneja wa zamani wa rapper Young Thug, na mshitakiwa namba moja anayekabiliwa na kesi ya kumshambulia Lil Wayne na msafara wake mwezi April, amesema Bosi wa Cash Money Birdman nae alihusika katika upangaji wa tukio hilo.
Mtandao wa TMZ ambao umedai kuona nyaraka za maelezo aliyoyatoa Jimmy, yakieleza kuwa mlengwa mwingine wa mashambulizi hayo alikuwa ni muhasibu wa kampuni ya Cash money.
Taarifa na ‘data’ za simu zinaonesha kwamba, masaa mawili kabla ya shambulio kutokea mshitakiwa aliwasiliana na namba inayoaminika kuwa ni ya Rapper Birdman.
Birdman na mwanae Lil wayne, wametajwa kuwa kwenye ‘battle’ nzito ya kudaiana dolla za kimarekani $51 million.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.