Google PlusRSS FeedEmail

BASATA KUTOA TUZO TANO ZA SANAA DESEMBA 12

                      
Baraza la sanaa la Taifa BASATA linatarajia kutoa Tuzo tano kwa wasanii waliochangia jamiii na waliotumia maisha yao yote katika maendeleo ya sanaa Nchini

Tuzo hizo zitatolewa katika maadhimisho ya siku ya wasanii yatakayofanyika Desemba 12 katika ukumbu wa Blue Pearl uliopo jijini Dra es salaam

Mkurugenzi wa ukuzaji masoko Nsao Vivian alisema lengo la maadhimisho hao ni kutambulisha msanii kazi zake pamoja na mchango wake katika jamii

Naye Rais wa sanaa za maonyesho Tanzania Agnes Lupamba alisema sanaa ina nguvu kubwa katika kubadilisha fikra kwa jamii..

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging