Google PlusRSS FeedEmail

YG AJICHORA TATTOO YA 'BIKIRA MARIA' KICHWANI

Rapper mwenye asili ya Compton mkali YG, ameungana na wakali Chris Brown, Lil Wayne na Gucci Mane kuongeza idadi ya wasanii wenye michoro kichwani.

Mkali huyo yeye ameamua kuchora ‘Tattoo’ yenye picha ya Bikira Maria, ikiwa na maneno kutoka ndani ya bibilia yanayosomeka “No weapon formed against me shall prosper.”.

Katika hatua nyingine YG, anamalizia uandaaji wa album yake mpya ambapo amemtambulisha msanii wa kwanza atakaye kuwa chini ya lebo yake ya 4HUNNID, amemtaja kwa jina la Tanea na ni mwanamuziki wa R&B.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging