Google PlusRSS FeedEmail

QUICK ROCKA AITAKA SERIKALI KUWEKA MKAZO JUU YA UKUAJI WA SANAA

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini,Quick Rocka ameitaka serikali kuelewa na kuweka mkazo zaidi kuendelea sanaa ya Tanzania na kuifanya kuwa sehemu ya mapato ya nchi.

”Muziki au sanaa kwa ujumla ni kitu ambacho serikali ikiwekea mkazo kwamba tunafanya kazi kuna kulipa kodi,itaingiza pato kubwa na kukuza uchumi wa nchi kama ikichukuliwa kama kazi vijana wengi wamejiajiri kupitia sanaa za maigizo,muziki,uchongaji na uchoraji,ni vitu ambavyo watu wanapenda kufanya”,alisema Quick Rocka.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging